Education

Sports

Business

Pictures

Games

Video

Blog Archive

About Me

authorHello, my name is Jack Sparrow. I'm a 50 year old self-employed Pirate from the Caribbean.
Learn More →

728x90 AdSpace

Breaking

Fashion

Travel

@templatesyard

نموذج الاتصال

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *

Movies

Recent Videos

  • Latest News

    Slider

    News

    Music

    Games

    Adbox

    Recent

    Follow Us

    Link

    LightBlog

    12 February 2017

    Rais Magufuli aagiza vita dhidi ya mihadarati

      Unknown       12 February 2017
     Rais John Magufuli
     Rais wa Jamhuri ta Tanzinia Dkt John Magufuli, ameviagiza vyombo vyote vya ulinzi na usalama kuongeza nguvu katika mapambano dhidi ya dawa za kulevya kwa kuhakikisha vinasimamia sheria ipasavyo ili kukabiliana na tatizo hilo nchini humo.
    Rais Magufuli ametoa agizo hilo hii leo katika Ikulu ya mjini Dar es Salaam, muda mfupi baada ya kuwaapisha Kamishna mkuu wa mamlaka ya kupambana na kuzuia dawa za kulevya Bwana Rogers Siyanga, Kamishna Jenerali wa uhamiaji Dkt. Anna Peter Makakala, Balozi wa Tanzania nchini Ubelgiji Mheshimiwa Joseph Sokoine, Balozi wa Tanzania nchini Algeria Mheshimiwa Omar Yusuf Mzee na Balozi wa Tanznia nchini Uganda Mheshimiwa Grace Aaron Mgovano.
    Rais Magufuli asikitishwa na gharama ya ujenzi, uwanja wa ndege
    Mihadarati: Polisi 12 wasimamishwa kazi Tanzania
    #Dkt Magufuli amewataka viongozi wote wa serikali kuungana na vyombo vya dola katika mapambano dhidi ya watu wanaojihusisha na biashara haramu ya dawa za kulevya, na ametaka mapambano hayo yasifanywe kwa mzaha wala kwa kuangalia majina ya watu, vyeo vyao na taasisi wanazoongoza.
    Mheshimiwa Magufuli amrwapongeza viongozi wote wa mikoa walioanza kukamata watu wanaojihusisha na biashara za dawa za kulevya, na amewaomba Watanzania wote waunge mkono juhudu za kukabiliana na wanaofanya biashara na kutumia dawa za kulevya, ambazo zinazidi kuangamiza nguvu kazi ya taifa.
    logoblog

    Thanks for reading Rais Magufuli aagiza vita dhidi ya mihadarati

    Previous
    « Prev Post

    No comments:

    Post a Comment