Education

Sports

Business

Pictures

Games

Video

Blog Archive

About Me

authorHello, my name is Jack Sparrow. I'm a 50 year old self-employed Pirate from the Caribbean.
Learn More →

728x90 AdSpace

Breaking

Fashion

Travel

@templatesyard

نموذج الاتصال

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *

Movies

Recent Videos

  • Latest News

    Slider

    News

    Music

    Games

    Adbox

    Recent

    Follow Us

    Link

    LightBlog

    14 February 2017

    Bwawa la Ethiopia lasababisha upungufu wa maji Kenya

      Unknown       14 February 2017
    Picha za satelite za Gibe III na za Ziwa Turkana.
    picha za satelite za ziwa Turkana
    Bwawa kubwa lililojengwa nchini Ethiopia limesababisha upungufu mkubwa wa maji kwenye ziwa Turkana kaskanzi mwa Kenya.
    Hali hiyo pia imetishia maisha ya takriban watu 500,000 ndani ya nchi hizo mbili kwa mujibu wa shirika la haki za binadamu la Human Rights Watch.
    Human Rights Watch ilitoa picha za satellite zinazoonyesha kuongezeka kwa maji karibu na bwawa na kupungua kwa katika kingo za ziwa Turkana.
    Bwawa la Gibe III pamoja na mashamba makubwa ya miwa yamesababisha kushuka kwa kiwango cha maji ya ziwa Turkana kwa mita 1.5 kutoka viwango vya awali.
    Katika sehemu nyingi picha hizo zinaonyeha maji yakiwa yamepungua umbali wa kimomita 1.7.
    logoblog

    Thanks for reading Bwawa la Ethiopia lasababisha upungufu wa maji Kenya

    Previous
    « Prev Post

    No comments:

    Post a Comment