Education

Sports

Business

Pictures

Games

Video

Blog Archive

About Me

authorHello, my name is Jack Sparrow. I'm a 50 year old self-employed Pirate from the Caribbean.
Learn More →

728x90 AdSpace

Breaking

Fashion

Travel

@templatesyard

نموذج الاتصال

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *

Movies

Recent Videos

  • Latest News

    Slider

    News

    Music

    Games

    Adbox

    Recent

    Follow Us

    Link

    LightBlog

    15 February 2017

    Simu za Nokia 3310 kurejea?

      Unknown       15 February 2017


    Dave Mitchell
    Image captionDave Mitchell anasema ametumia simu yake tangu 2000
    Kuna taarifa kwamba huenda simu muundo wa Nokia 3310 zikazinduliwa upya na kuanza kuuzwa tena baadaye mwezi huu.
    Kampuni ya HMD Global Oy ya Finland, ambayo ina haki za kuunda bidhaa za nembo ya Nokia ndiyo inayodaiwa kuwa na mipango hiyo.
    Simu hizo inaarifiwa zitazinduliwa wakati wa Kongamano la Simu za Rununu Duniani baadaye mwezi huu.
    Kampuni ya Nokia ilinunuliwa na Microsoft mwaka 2013.
    Simu asilia za Nokia 3310 zilipata umaarufu kutokana na uthabiti wake.
    Nokia 3310/3330, zilizinduliwa 2000, na ni miongoni mwa simu zilizouzwa sana duniani. Jumla ya simu 126 milioni za aina hiyo zilitengenezwa na Nokia.
    Una kumbukumbu za simu hiyo?
    Dave Mitchell nchini Uingereza anaamini kwamba anamiliki moja ya simu za zamani zaidi aina ya Nokia 3310 nchini Uingereza.
    Alinunua simu hiyo mwaka 2000 na anasema amekuwa akiitumia tangu wakati huo - bila natatizo yoyote.
    Mwanajeshi huyo wa zamani anasema simu hiyo imewahi kufuliwa pamoja na nguo kwenye mashine, ikakanyagwa na hata kutumbukia kwenye mchuzi.
    Anasema huwa inamhitaji kuweka chaji baada ya siku kumi.
    Bado ina betri yake asili.
    "Nilinunua simu hii zaidi ya miaka 17 iliyopita na sijawahi kubadilisha chochote. Sijui ni watu wangapi wenye simu za kisasa wanaweza kusema hayo."

    Historia ya simu za Nokia

    Nokia 1011Haki miliki ya pichaNOKIA
    Image captionSimu hii ya Nokia 1011 iliyozinduliwa mwaka 1992 iliyokuwa na uzani wa nusu kilo (gramu 495/1.1lb), ilikuwa ya kwanza ya GSM kuuzwa sana
    Nokia 5110Haki miliki ya pichaNOKIA
    Image captionNokia aina ya 5110 ambazo ungebadilisha sehemu ya juu
    Nokia 8210Haki miliki ya pichaNOKIA
    Image captionNokia 8210 ambayo ilikuwa nyepesi zaidi mwaka 1990. Ilikuwa na uzani wa gramu 79
    3330 Nokia phoneHaki miliki ya pichaNOKIA
    Image captionNokia 3310/3330, zilizinduliwa 2000, na ni miongoni mwa simu zilizouzwa sana duniani. Jumla ya simu 126 milioni za aina hiyo zilitengenezwa na Nokia.
    Nokia 3650Haki miliki ya pichaNOKIA
    Image captionMajaribio ya kwanza kabisa ya simu aina ya smartphone ilikuwa Nokia 3650 iliyozinduliwa 2002. Ilitumia mfumo endeshi wa Symbian Series 60, lakini haikuvuma sana kutokana na kipadi yake
    Nokia 7600Haki miliki ya pichaGETTY IMAGES
    Image captionMoja ya simu za kwanza za Nokia za 3G, Nokia 7600 ilizinduliwa 2003. Ilikuwa sehemu ya msururu wa simu za "Mitindo". Haikuvutia watu wengi.
    Nokia N-GageHaki miliki ya pichaNOKIA
    Image captionNokia ilizindua pia N-Gage mwaka 2003, ambayo ni mashine ya kucheza michezo ya kompyuta na simu. Haikuvutia watu wengi.
    logoblog

    Thanks for reading Simu za Nokia 3310 kurejea?

    Previous
    « Prev Post

    No comments:

    Post a Comment