Education

Sports

Business

Pictures

Games

Video

Blog Archive

About Me

authorHello, my name is Jack Sparrow. I'm a 50 year old self-employed Pirate from the Caribbean.
Learn More →

728x90 AdSpace

Breaking

Fashion

Travel

@templatesyard

نموذج الاتصال

Name

Email *

Message *

Contact Form

Name

Email *

Message *

Movies

Recent Videos

  • Latest News

    Slider

    News

    Music

    Games

    Adbox

    Recent

    Follow Us

    Link

    LightBlog

    15 February 2017

    Mavazi ya bikini yasababisha maonyesho kupigwa marufuku Guinea

      Unknown       15 February 2017
    Warembo waliojipanga na bikini
    Serikali Guinea imepiga marufuku kwa muda maonyesho ya urembo baada ya mavazi ya bikini kuzua shutuma nchini humo.
    Wagombea walijipanga mbele ya waziri mkuu Mamady Youla wakiwa wamevaa bikini siku ya Jumamosa na kasababisha shutuma kwenye mitandao ya kijamii.
    Gazeti moja liliandika likiuliza ikiwa waziri mkuu alikuwa akiunga mkono ukahaba.
    Waziri wa tamaduni anasema kuwa marufuku hiyo itasalia hadi pale vipengee vipya vya maadili vitatangazwa.
    Amasema kuwa kamati imebuniwa kuandika viprngee hivyo.
    Pia amesema kuwa serikali imefuta mikataba na waandalizi wa maonyesho hayo ya urembo.
    logoblog

    Thanks for reading Mavazi ya bikini yasababisha maonyesho kupigwa marufuku Guinea

    Previous
    « Prev Post

    No comments:

    Post a Comment